#Local News

MGOGORO MPYA WANUKIA UON      

Huenda shughuli za masomo zikayumbishwa tena katika chuo kikuu cha Nairobi iwapo serikali haitatekeleza matakwa ya wahadhiri chuoni humo, ikiwemo kutia saini na kutekelezwa kwa mkataba wa maelewano wa pamoja CBA.

Katika kikao na waandishi wa habari, wahadhiri kupitia muungano wa UASU wameilaumu serikali kutokana na kucheleweshwa kwa mkataba huo, na madai kwamba serikali inavuruga mpango wa kuwaajiri wafanyakazi katika chuo hicho.

Mgogoro huo mpya unanukia miezi michache baada ya baraza jipya kuteuliwa ili kutatua mgogoro wa uongozi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOGORO MPYA WANUKIA UON      

LUIS SUÁREZ ASAINI MKATABA MPYA NA INTER

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *