#Local News

VIONGOZI WAONYA DHIDI YA KUVURUGA ZIARA YA RUTO 

Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Kakamega wamehimiza ushirikiano wa viongozi wote katika kaunti hiyo wakati wa ziara ya Rais William Ruto, wakisema hatua hiyo itahakikisha wanafaidika pakubwa kutokana na ziara hiyo.

Rais amerataibiwa kuzuru maeneo kadhaa ya kaunti hiyo kuzindua miradi ya maendeleo, huku madai yakiibuka kwamba kuna njama ya vijana kutumiwa kutatiza mkutano wa rais.

Nabii Nabwera ni mbunge wa Lugari.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

VIONGOZI WAONYA DHIDI YA KUVURUGA ZIARA YA RUTO 

CHUI WA AFC WAIKWARUZA SHABANA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *