UCHUNGUZI WA AJALI YA NDEGE MOSOP
Ripoti ya awali kuhusu chanzo cha ajali ya ndege iliyosababisha vifo vya watu 6 wikendi iliyopita katika eneo la Mosop kaunti ya Nandi inatarajiwa kutolewa ndani ya siku 30 zijazo.
Haya ni kulingana na Waziri wa uchukuzi Davis Chirchir, akisema matokeo ya uchunguzi huo yanatarajiwa kuangazia namna ndege hiyo ilivyotoweka baada ya kupaa.
Amekariri kujitolea kwa serikali kufanya uchunguzi wa kina.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 




























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































