#Local News

MAHAKAMA YA MURANG’A YAHOFIA MSONGAMANO KWENYE MAGEREZA

Mahakama kuu ya Murang’a imeagiza  kuimarishwkwa utendakazi kupitia mageuzi ya kidijitali hii ni kufuatia msongamano  unaozidi kuongezeka katika magereza mbalimbali katika kaunti hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla ya kutoa kompyuta na tarakilishi  kwa gereza la maranjau jaji wa mahakama kuu ya Murang’a Cecilia  Githua amesema mpango huo utahakikisha haki inatendeka kwa njia bora kwa kila mfungwa.

Imetayarishwa na Jones Koikai

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *