MAHAKAMA YA MURANG’A YAHOFIA MSONGAMANO KWENYE MAGEREZA
Mahakama kuu ya Murang’a imeagiza kuimarishwa kwa utendakazi kupitia mageuzi ya kidijitali hii ni kufuatia msongamano unaozidi kuongezeka katika magereza mbalimbali katika kaunti hiyo.
Akizungumza wakati wa hafla ya kutoa kompyuta na tarakilishi kwa gereza la maranjau jaji wa mahakama kuu ya Murang’a Cecilia Githua amesema mpango huo utahakikisha haki inatendeka kwa njia bora kwa kila mfungwa.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































