#Local News

MSAADA WA AMBULENSI KUTOKA WHO

Huduma za matibabu nchini zimepigwa jeki kufuatia msaada wa ambulensi 14 za kisasa na dawa zenye thamani ya shilingi milioni 350 kwa serikali kutoka shirika la Afya duniani WHO kwa lengo la kuboresha huduma za afya kwa umma nchini.

Walengwa katika msaada huo ni akina mama wajawazito na Watoto wanaozaliwa, Rais William Ruto akizitaka hospitali kutoa takwimu za akina mama wanaofariki wakati wa kujifungua na Watoto wachanga.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MSAADA WA AMBULENSI KUTOKA WHO

CAF YAMTUZA RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *