#Local News

MPASUKO ZAIDI ODM

Tofauti za kisiasa zimeendelea kujitokeza katika chama cha ODM hasa kuhusiana na ushirikiano wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao, kinara wa chama hicho Oburu Oginga akisisitiza kuwa ODM itafanya mazungumzo na UDA ili kubuni muungano wa kisiasa.

Hata hivyo, kundi la viongozi likiongozwa na gavana wa Siaya James Orengo na katibu mkuu Edwin Sifuna, wamekariri kuwa mkataba wa maelewano ya kisiasa kati ya kinara mwanzilishi Raila Odinga na Rais William Ruto yanakamilika mwaka ujao.

Oburu amesisitiza kuwa hakuna viongozi watakaofurushwa chamani.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MPASUKO ZAIDI ODM

SERIKALI YACHUNGUZA VURUGU NYERI

MPASUKO ZAIDI ODM

NAIROBI UNITED WAJIKAANGA CAF

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *