#Local News

ODM YASHINIKIZA HAKI KWA WAATHIRIWA

Tukiwa bado katika masuala ya haki, chama cha ODM kimeitaka serikali kuharakisha fidia kwa familia zilizowapoteza wapendwa wao wakati wa maandamano nchini jinsi ilivyokubalika katika mkataba wa maelewano ya kisiasa baina ya chama hicho na UDA.

Wito huo ulitolewa kwenye hafla ya kumkumbuka aliyekuwa kinara wa ODM Raila Odinga, viongozi wakiitaka mahakama kuweka mbele haki kwa waathiriwa katika kesi ya kupinga kubuniwa kwa jopokazi la kushughulikia fidia hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM YASHINIKIZA HAKI KWA WAATHIRIWA

RIPOTI YA IMLU KUHUSU MAUAJI VITUONI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *