#Local News

VURUGU ZAWAACHA MAKUMI NA MAJERAHA KISII

Makumi ya watu wanaendelea kuuguza majeraha kufuatia makabiliano baina ya makundi mawili ya vijana katika maeneo ya Keroka na Kisii muda mfupi kabla ya viongozi wa upinzani kuandaa mikutano ya hadhara maeneo hayo hapo jana.

Mikutano hiyo ilikuwa imeandaliwa na naibu kinara wa Jubilee Fred Matinag’i, ambaye amewalaumu polisi na wanasiasa wanaoegemea chama tawala cha UDA eneo hilo kwa madai ya kufadhili vurugu hizo ili kuvuruga mikutano hiyo.

Hata hivyo, wameapa kuungana kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

VURUGU ZAWAACHA MAKUMI NA MAJERAHA KISII

INGONGA AILAUMU DCI, IPOA KWA UCHUNGUZI

VURUGU ZAWAACHA MAKUMI NA MAJERAHA KISII

CHERUIYOT ATARAJIA MSIMU WA KISHINDO 2026

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *