#Local News

UFISADI UNAANGAMIZA NCHI- MARAGA, KIGAME

Serikali imetakiwa kuvunja kimya chake kuhusu kudorora kwa sekta muhimu kama vile afya na elimu ya juu, ambayo imedorora kutokana na mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma.

Wakizunguza katika hafla moja kaunti ya Makueni, jaji mkuu wa zamani David Maraga na mwimbaji wa nyimbo za injili Reuben Kigame, wamehusisha changamoto zinazoikabili nchi na ufisadi katika sekta mbali mbali.

Wawili hao waliotangaza azma ya kuwania urais, wamesema watatatua changamoto hizo iwapo watachaguliwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UFISADI UNAANGAMIZA NCHI- MARAGA, KIGAME

VINICIUS AOMBA RADHI KWA MASHABIKI

UFISADI UNAANGAMIZA NCHI- MARAGA, KIGAME

MOSHI MWEUPE VYUONI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *