#Local News

WANAHARAKATI BOB, OYOO WASIMULIA MATESO

Hofu kwamba tungewachochea vijana wa kizazi cha Gen Z nchini Uganda ndicho chanzo chetu sisi kutekwa nyara na kuzuiliwa kwa siku 38 katika kambi ya kijeshi ya Kasenyi nchini humo.

Ndiyo kauli ya wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo, wakisimulia masaibu waliyopitia mikononi mwa kikosi maalum cha jeshi la taifa hilo.

Wamefichua kuwa zaidi ya watu 150 wanazuiliwa katika kambi hiyo bila makosa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAHARAKATI BOB, OYOO WASIMULIA MATESO

RUTO: NITAKOMBOA UKAMBANI KUTOKA UPINZANI

WANAHARAKATI BOB, OYOO WASIMULIA MATESO

WAKENYA 3 WAZUILIWA TANZANIA, MUDAVADI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *