#Local News

RUTO ATOA HATIMILIKI 15000 KITUI

Rais William Ruto leo ametoa hati miliki 15,000 kwa wakazi wa Kamuwongo, Mwingi kaskazini, kaunti ya Kitui,

akizungumza katika hafla hiyo rais Ruto ameangazia uwezekano wa mabadiliko ya mpango katika hatua inayolenga kutatua changamoto za muda mrefu za umiliki wa ardh.

Imetayarishwa na Jones Koikai

RUTO ATOA HATIMILIKI 15000 KITUI

UBINAFSI WA JAMII KUBWA WAFICHULIWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *