MATIANG’I APUUZA MADAI YA DUALE KUHUSU CBC

Naibu Kiongozi wa Chama cha Jubilee, Fred Matiang’i, amepuuzilia mbali madai ya Waziri wa Afya Aden Duale kwamba ndiye chanzo cha changamoto zinazokumba Mfumo wa Elimu wa CBC, akisema tatizo haliko kwenye mtaala bali kwenye uongozi wa serikali ya sasa. Katika taarifa aliyotoa kufuatia kauli ya Duale kwenye mahojiano na runinga moja humu nchini, Matiang’i amesema […]

MECHI ZA WIKIENDI ZINATARAJIWA KUSISIMUA EPL

Wikiendi hii, mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza wanatarajiwa kufurahia mechi zenye mvuto mkubwa, zikianza Jumamosi na Brighton kukutana na Everton, Leeds kucheza dhidi ya Arsenal, na Wolves kukabiliana na Bournemouth  kisha baadaye Kesi ya usiku itakuwa ni kati ya Liverpool na Newcastle wakati Chelsea itakuwa na changamoto ya kukabiliana na West Ham Jumapili, Aston Villa itacheza na Brentford, Manchester United itakuwa mwenyeji wa Fulham, na Nottingham Forest inakabiliana na Crystal Palace kisha Tottenham wakabane koo na Manchester City Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

MATANO AONA MECHI YA KPL KAMA JARIBIO MUHIMU KWA KCB

Kocha wa KCB, Robert Matano, ameona safari ya Jumamosi kwenda Kasarani Annex kama jaribio muhimu kwa timu yake. KCB wapo nafasi ya tisa katika jedwali la SportPesa League wakiwa na alama 25 kutokana na michezo 18, baada ya kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Tusker, jambo lililoacha wachezaji na ufundi wakitamani kuonyesha uwezo wa kujirekebisha haraka. Mechi hiyo […]

ODEMBA AWEKA IMANI KWA WACHEZAJI WA NDANI WAFCON 2026

Kocha wa timu ya Harambee Starlets, Beldine Odemba, ameeleza imani yake kwa vipaji vya ndani wakati Kenya ikijiandaa kwa Kombe la Mataifa ya Afrika ya Wanawake (WAFCON) 2litakalofanyika Morocco kuanzia Machi 17. Odemba ameita kikosi kilichopo nchini kwa kambi ndogo kuanzia Februari 1 hadi 6, ili benchi la ufundi liweze kutathmini wachezaji kutoka vilabu vya juu nchini […]

SHUJAA NA LIONESSES KUANZA MASHINDANO FEBRUARI 14

Shujaa na timu ya wanawake Kenya Lionesses wataanza mashindano yao dhidi ya Canada na Brazil, mtawalia, wakati World Sevens Series Division Two inapoanza katika Uwanja wa Taifa wa Nyayo tarehe 14 Februari. Shujaa, chini ya kocha Kevin Wambua, watakabiliwa na kipimo kigumu cha mabao katika pool yao, kuanzia na Canada kabla ya kukabiliana na Belgium […]

6 Expert Tips for Live Betting Success at Blackjack City Co.Uk

6 Expert Tips for Live Betting Success at Blackjack City Co.Uk Knowing a sport inside out gives you an edge. When you understand team form, player injuries, and recent trends, you can spot value odds faster. For example, imagine you follow English Premier League closely. You notice a top‑flight striker is out with a hamstring […]

MAHAKAMA YA JUU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA KESI YA GACHAGUA

Mahakama ya Juu imetupilia mbali maombi yaliyounganishwa yanayotokana na mvutano wa kisheria kuhusu kung’olewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, hatua inayofungua njia kwa rufaa kuu kusikilizwa. Katika uamuzi wake mahakama hiyo ya juu imekataa maombi yaliyowasilishwa na Gachagua pamoja na Bunge la Kitaifa, bila kutoa amri yoyote kuhusu gharama za kesi. Mgogoro huo ulianzia Oktoba […]

GAVANA BARASA ATOA WITO WA UMOJA KWA VIONGOZI WA MAGHARIBI

Gavana wa Kaunti ya Kakamega, Fernandes Barasa, amewataka viongozi kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya kuungana na kufanya kazi kwa mshikamano kwa maslahi ya wananchi. Akizungumza katika kaunti ya Kakamega, Barasa amesisitiza kuwa umoja ndio njia sahihi ya maendeleo, akionya kuwa migawanyiko ya kisiasa na kijamii italeta vurugu na kusababisha kudorora kwa maendeleo katika eneo […]

SERIKALI YAONGEZA BIMA YA SARATANI HADI SHILINGI 800,000

Waziri wa Afya Aden Duale amesisitiza dhamira ya serikali katika kuboresha upatikanaji wa matibabu ya saratani kwa kuongeza kifurushi cha matibabu chini ya Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (SHIF) kutoka shilingi 500,000 hadi 800,000. Akizungumza katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Coast General kaunti ya Mombasa Duale amesema serikali itagharamia mikataba ya huduma […]

KAMISHNA WA MAGEREZA AWATAKA MAAFISA KUZINGATIA USALAMA

Kamishna Mkuu wa Magereza Patrick Aranduh amewataka maafisa wa magereza nchini kuzingatia kikamilifu taratibu za usalama, akisema jukumu lao kuu ni kuwafungia wafungwa kwa usalama na kulinda wananchi. Akizungumza na wakurugenzi, makamanda wa kanda na maafisa wanaosimamia vituo vya magereza katika mkutano uliofanyika Chuo cha Mafunzo cha Maafisa wa Magereza, Aranduh ameonya kuwa uzembe au […]