#Local News

SERIKALI YASAMBAZA CHAKULA CHA MSAADA TURKANA

Zaidi ya wakazi 300,000 wanaokabiliwa na makali ya njaa kutokana na ukame katika kaunti ya Turkana wanatarajia kupata msaada wa chakula ambacho kimeanza kusambazwa na serikali kuu katika juhudi za kudhibiti makali ya njaa.

Kwa mujibu wa Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku, serikali imetuma malori 21 yenye chakula hicho kikiwemo cha Watoto wachanga, akina mama wanaonyonyesha pamoja na mifugo.

Amesema waathiriwa pia watapewa fedha kupitia mpango wa Inua Jamii.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI YASAMBAZA CHAKULA CHA MSAADA TURKANA

MAN UNITED KUTAFUTA USHINDI

SERIKALI YASAMBAZA CHAKULA CHA MSAADA TURKANA

UPASUAJI WA MAITI WAFICHUA KIINI CHA KIFO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *