#Local News

WAGOMBEAJI MALAVA WATAKIWA KUKUBALI MATOKEO

Wagombeaji wote 7 wa ubunge katika eneo bunge la Malava wametakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi mdogo utakaondaliwa eneo hilo hapo kesho bila kuzingatia matokeo.

Ni wito ambao umetolewa na Wakazi eneo hilo, wakisema mshikamano utafanikisha utekelezaji wa maendeleo baada ya uchaguzi huo.

Uchaguzi huo umegeuzwa kuwa upimaji wa ubabe wa kisiasa kati ya muungano wa upinzani na serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAGOMBEAJI MALAVA WATAKIWA KUKUBALI MATOKEO

HATMA YA NYARIBO SENETI

WAGOMBEAJI MALAVA WATAKIWA KUKUBALI MATOKEO

DEAFLYMPICS 2025 KUFUNGA MILANGO LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *