#Local News

WAITITU APATA MDHAMINI KATIKA KESI YAKE

Huenda aliyekuwa gavana wa kiambu Ferdinand   Waititu akaachiliwa baada ya kupata mdhamini wa benki katika kesi inayomkabili ya ufisadi.

Kupitia wakili wake waititu amesema kuwa  amepata  . Dhamana ya benki ya shillingi milioni 53, hitaji muhimu katika azma yake ya kutaka kuachiliwa huru.

Imetayarishwa na Jones Koikai

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *