#Local News

HATMA YA NYARIBO SENETI

Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo kwa mara ya 3 ndani ya miaka 3 atategemea bunge la seneti kumwokoa na kumrejesha mamlakani, baada ya kubanduliwa na wawakilishi wadi 23 kati ya 31 wa bunge la kaunti hiyo hapo jana.

Spika wa bunge hilo Thaddeus Nyabaro, anatarajiwa kulifahamisha bunge la seneti kuhusu kubanduliwa huko kabla ya seneti kutenga siku ya kusikiliza hoja hiyo na kudumisha au kubatilisha uamuzi wa wawakilishi wadi hao.

Nyaribo anatuhumiwa kwa utumiaji mbaya wa afisi na ukiukaji wa sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

HATMA YA NYARIBO SENETI

BUNGE, SENETI KUJADILI HOTUBA YA RAIS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *