RUTO AAHIDI MAKAZI WA IDPS WA 2007
Hatimaye wakimbizi wa ndani kwa ndani kutokana na machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 wanatarajia mwanga wa tumaini la kupata makazi baada ya Rais William Ruto kutangaza mpango wa kuwatafutia ardhi.
Akizungumza kwenye kaunti ya Nakuru wakati wa ziara yake, Rais Ruto ametangaza kwamba shilingi milioni 18 zitatolewa kufanikisha mpango huo unaolenga familia 900 zinazoripotiwa kuathirika na machafuko hayo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































