#Sports

KENYA TAYARI KUWAKILISHA U-21 TAEKWONDO

Timu ya Kenya iko tayari kung’ara nyumbani wakati Mashindano ya
Dunia ya Taekwondo ya Wachezaji Chini ya Miaka 21 yanapoanza hii
leo katika Ukumbi wa Kasarani Indoor Arena.

Kikosi cha wachezaji 16 kimekuwa kikijifua katika Kenya Academy of
Sports, na kiko tayari kutoa maonyesho ya kuvutia mbele ya
mashabiki wa nyumbani.

Mashindano haya ya kwanza kabisa yamevutia mataifa 77 na zaidi ya
wanariadha 450, yakiongeza hamasa kubwa kimataifa.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KENYA TAYARI KUWAKILISHA U-21 TAEKWONDO

CITY WAIKARIBIA ARSENAL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *