#Local News

POLISI WAHIMIZA MADEREVA KUMAKINIKA BARABARANI

Madereva wamehimizwa kuchukua tahadhari wanapokaribia maeneo ya Gilgil na Kikopey kwenye barabara kuu ya Nairobi- Nakuru kufuatia visa vya ajali ambapo watu 7 wameaga dunia huku wengine 11 wakijeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari kadhaa.

Kamanda wa polisi eneo la Gilgil Winson Mwakio, amethibitisha ajali hiyo na kuwataka madereva kuwa makini ili kudhibiti visa vya ajali.

Walioshuhudia wamelalamikia ongezeko la ajali eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI WAHIMIZA MADEREVA KUMAKINIKA BARABARANI

RUTO: MSIWAPOTOSHE VIJANA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *