#Local News

MATUKIO YA KCSE 2025

Ukiukaji wa kanuni za zinazoongoza mitihani ya kitaifa ni miongoni mwa visa viliyoripotiwa kwenye siku ya kwanza ya mtihani wa kidato cha 4 KCSE hapo jana, mwalimu mkuu mmoja katika kaunti ya Narok akisimamishwa kazi kwa muda ili kupisha uchunguzi dhidi yake.

Kulingana na mkuu wa elimu katika kaunti hiyo Apollo Apuka, mwalimu huyo alipatikana akivunja mwongozo wa baraza la mitihani KNEC, ingawa hakuweka wazi ukiukaji maalum.

Wakati uo huo, shule moja kwenye kaunti ya Kajiado inachunguzwa kwa madai ya wizi wa mtihani.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MATUKIO YA KCSE 2025

HARRY KANE AVUTIWA NA BARCELONA

MATUKIO YA KCSE 2025

WADAU WAONYWA DHIDI YA WIZI WA MTIHANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *