#Local News

RUTO ATETEA AMRI YA “RISASI MIGUUNI’

Sijutii kuwaamuru polisi wawapige risasi za miguu wakenya waliokuwa wakishiriki maandamano ya hivi majuzi ya kupinga sera za serikali.

Ndiyo kauli ya Rais William Ruto kwenye mahojiano na shirika la habari la kimataifa la Aljazeera, akisema sheria inawaruhusu polisi kupitia nguvu kupita kiasi kuwakabili waandamanaji wanaozua vurugu.

Kulingana na rais, wahuni waliingilia maandamano hayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *