#Local News

WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 1,000 GITHURAI WAPOTEZA VIBANDA

Zaidi ya wafanyabiashara 1,000 katika Soko la Githurai wanakadiria hasara kubwa baada ya vibanda vyao kubomolewa alfajiri ya Alhamisi kupisha ujenzi wa kituo cha mabasi.

Operesheni hiyo ilitekelezwa na Mamlaka ya Kitaifa ya Barabara Kuu Kenya (KENHA), siku moja tu baada ya wafanyabiashara hao kuandamana kupinga mpango wa ubomoaji.

Ingawa walikuwa wamepewa notisi ya kuondoka, wamelalamikia serikali kwa kutowapatia maeneo mbadala ya kufanyia biashara kabla ya ubomoaji kufanyika.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 1,000 GITHURAI WAPOTEZA VIBANDA

NDINDI NYORO AHOJI UUZAJI WA MALI ZA

WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 1,000 GITHURAI WAPOTEZA VIBANDA

MMUST YALENGA KUTETEA UBINGWA WA RAGA 7S

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *