RUTO AWATAHADHARISHA MAJANGILI KASKAZINI
Rais William Ruto ametangaza kwamba serikali yake itarejesha utulivu katika kila eneo la taifa, na kuwaonya wamiliki wa silaha bila leseni kwamba chuma chao ki motoni.
Akizungumza alipozuru eneo la bonde la ufa, Ruto amewataka wamiliki hao kuzisalimisha sialaha hizo mara moja la sivyo wapokonywe kisheria.
Naye Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen amesema tayari serikali imeanza kutwaa bunduki hizo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































