#Local News

MURKOMEN: TOA HONGO UKAMATWE

Vijana wanaolenga kujiunga na vikosi vya polisi kwenye usajili ambao umeratibiwa wiki ijayo wamehakikishiwa kwamba zoezi hilo litaendeshwa kwa uwazi na usawa na watakaopatikana wakijihusisha na ufisadi watawajibishwa kisheria.

Akizungumza katika kaunti ya Bomet, Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amewataka wananchi kuwaripoti watakaohusika na visa hivyo ili kuhakikisha uadilifu wa zoezi la usajili wa makurutu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MURKOMEN: TOA HONGO UKAMATWE

SAMIA ASAKA SULUHU TANZANIA

MURKOMEN: TOA HONGO UKAMATWE

GOR WATAMBA MBELE YA SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *