#Rugby #Sports

LIONESSES WAJIANDAA KWA MICHUANO YA RAGA AFRIKA

Timu ya taifa ya Kenya ya Raga ya Wanawake – Lionesses,
inajiandaa upya kukutana na vigogo wa bara la Afrika katika
michuano ya Rugby Africa Women’s Sevens itakayofanyika
katika Uwanja wa RFUEA, jijini Nairobi.
Mashindano hayo ya siku mbili yanatarajiwa kuvutia mataifa 12,
yatakayopambana kwa ubabe ili kutwaa ubingwa wa mwaka huu
na kuwasha upya upinzani mkali wa kihistoria.
Toleo hili linatarajiwa kuwa na ladha ya kipekee, likishuhudia
timu kongwe na mabingwa wa rekodi Afrika Kusini, pamoja na
Namibia, Uganda, na Zambia, wakijumuishwa katika orodha ya
washiriki wenye nyota wengi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

LIONESSES WAJIANDAA KWA MICHUANO YA RAGA AFRIKA

IDARA YA UTABIRI WA HALI YA HEWA

LIONESSES WAJIANDAA KWA MICHUANO YA RAGA AFRIKA

BAYERN WATAISHINDA PSG ASEMA NEUER

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *