WANAHARAKATI WATAKA KUACHIWA KWA WENZAO
Mashirika ya kutetea haki nchini yameendelea kuzishinikiza serikali za Uganda na Kenya kuharakisha na kuwarejesha nchini wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo walioripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda zaidi ya mwezi mmoja uliopita.
Miongoni mwa mashirika hayo ni chama cha wanasheria LSK, Amnesty International na Haki Africa, yakisema hali ya afya ya wawili hao imezorota.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































