#Local News

WANAHARAKATI WATAKA KUACHIWA KWA WENZAO

Mashirika ya kutetea haki nchini yameendelea kuzishinikiza serikali za Uganda na Kenya kuharakisha na kuwarejesha nchini wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo walioripotiwa kutekwa nyara nchini Uganda zaidi ya mwezi mmoja uliopita.

Miongoni mwa mashirika hayo ni chama cha wanasheria LSK, Amnesty International na Haki Africa, yakisema hali ya afya ya wawili hao imezorota.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAHARAKATI WATAKA KUACHIWA KWA WENZAO

MARUFUKU YA UKATAJI MITI YAONDOLEWA

WANAHARAKATI WATAKA KUACHIWA KWA WENZAO

CHANGAMOTO ZA KPSEA, KJSEA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *