#Local News

FAMILIA YA OGUTU YALILIA HAKI, YALAUMU UBALOZI

Familia ya mkenya John Ogutu aliyeuawa kwenye ghasia za uchaguzi nchini Tanzania imeitaka serikali ya Kenya kuingilia kati ili kuurejesha nchini mwili wa jamaa yao ambao haujulikani uliko kufikia sasa.

Kwenye kikao na wanahabari, familia hiyo imelalamikia kukosa msaada kwenye idara husika ukiwemo ubalozi wa Tanzania humu nchini, wanaosema umekosa kutoa maelezo kuhusu hatma ya mwili wa mwendazake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FAMILIA YA OGUTU YALILIA HAKI, YALAUMU UBALOZI

MAKURUTU WA POLISI KUANZA MAFUNZO

FAMILIA YA OGUTU YALILIA HAKI, YALAUMU UBALOZI

TAREHE YA KESI YA OJWANG YAPANGWA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *