#Local News

MWENYEKITI WA KUDHIBITI BIDHAA GUSHI AKAMATWA

Maafisa wa tume ya kupambana na ufisadi nchini – EACC wamemkamata mwenyekiti wa halmashauri ya kudhibiti bidhaa gushi nchini Josphat Gichunge   kwa madai ya kuhusika katika visa kadhaa vya ufisadi

Kulingana na taarifa ni kwamba mnamo novemba tarehe 11 Gichunge anadaiwa kumwitisha mwanabiashara  mmoja rushwa ya shillingi millioni tano kwa madai ya kuhusika na bidhaa gushi

Kwa sasa anazuiliwa huku uchunguzi zaidi ukiendelea.

Imetayarishwa na Jones Koikai

MWENYEKITI WA KUDHIBITI BIDHAA GUSHI AKAMATWA

MWENYEKITI WA IEBC ATOA ONYO KWA WAGOMBEA

Apostas Esportivas na Roleta Francesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *