#Local News

OWALO AJIUZULU

Naibu mkuu wa wafanyakazi wa Ikulu anayesimamia kitengo cha ufanikishaji wa utendakazi wa serikali ya Kenya Kwanza Eliud Owalo, amejiuzulu baada ya kutangaza azma yake ya kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.

Kupitia taarifa, Owalo amesema haiwezekani kwake kuendelea kuitumikia serikali ya Rais William Ruto baada yake kutangaza kuwania wadhifa huo.

Kulingana na Owalo, ni wakati wake pia kujipima nguvu katika kinyang’anyiro cha urais.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

OWALO AJIUZULU

MATIANG’I ASHINIKIZA MAGEUZI YA ELIMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *