#Local News

WAGONJWA TAABANI NAIROBI

Huduma za matibabu katika hospitali za umma jijini Nairobi zinatarajiwa kutatizika zaidi kutokana na mgomo wa madaktari na maafisa wa kliniki ambao umeingia siku ya 4, huku wauguzi wakitarajiwa kujiunga na mgomo huo kuanzia leo.

Madaktari na maafisa kliniki wamesusia kazi ili kuishinikiza serikali ya kaunti ya Nairobi kuwapa malipo yao ya kati ya mwezi 1-3, wakimshutumu gavana Johnson Sakaja kwa madai ya kuwapuuza.

Maafisa wa kliniki wamekuwa kwenye mgomo tangu Disemba.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAGONJWA TAABANI NAIROBI

KESI YA MANDAGO KUENDELEA LEO NAKURU

WAGONJWA TAABANI NAIROBI

ODM, UDA HURU KUANZA MAZUNGUMZO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *