#Local News

KCSE 2025: WATAHINIWA 1,180 WAKOSA MATOKEO

Huku sherehe zikiendelea kuhusiana na matokeo ya mtihani wa KCSE mwaka 2025, watahiniwa 1,180 hawana cha kufurahia baada ya wizara ya elimu kufutilia mbali matokeo yao kwa madai ya kuhusika na udanganyifu kwenye mtihani huo.

Akizungumza katika shule ya AIC Chebisas kaunti ya Uasin Gishu wakati wa kutangaza matokeo hayo, Waziri wa elimu Julius Ogamba amesema uamuzi huo umeafikiwa baada ya uchunguzi ulioanza mwezi Novemba mwaka jana kukamilika.

Aidha, ameweka wazi jinsi watahiniwa wa mwaka jana watapokea matokeo yao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KCSE 2025: WATAHINIWA 1,180 WAKOSA MATOKEO

KCSE 2025: IDADI YA A PLAIN YAONGEZEKA

KCSE 2025: WATAHINIWA 1,180 WAKOSA MATOKEO

KNEC: THIBITISHA USAJILI WA MWANAO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *