#Local News

DUALE AKANUSHI KUSHIRIKA DATA ZA KIBINAFSI

Waziri wa afya Aden Duale amekanusha madai kwamba kenya itashiriki rekodi za kibinafsi za matibabu na marekani chini ya mfumo mpya wa ushirikiano wa afya wa kenya na marekani.

Duale amesisitiza  kuwa makubaliano hayo yanaruhusu tu ubadilishanaji wa data iliyojumlishwa ya afya, akisisitiza kwamba hakuna vitambulisho vya kipekee vya kibinafsi ikiwa ni pamoja na faili za matibabu vitapatikana kwa serikali ya marekani.

Imetayarishwa na Jones Koikai

DUALE AKANUSHI KUSHIRIKA DATA ZA KIBINAFSI

KALONZO KUANDIKISHA TAARIFA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *