#Local News

RUTO: NITAKOMBOA UKAMBANI KUTOKA UPINZANI

Ziara ya Rais William Ruto katika eneo la Ukambani iniangia siku ya 2 hii leo huku rais akitoa wito kwa eneo hilo kushirikiana naye kwenye uchaguzi mkuu ujao, akisema eneo hilo limekuwa kwenye upinzani kwa muda mrefu.

Alikuwa akizungumza kwenye kaunti ya Makueni alikoanzia ziara yake hapo jana, akitumia ziara hiyo kutetea ushuru unaotozwa wakenya na serikali yake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: NITAKOMBOA UKAMBANI KUTOKA UPINZANI

WANAHARAKATI BOB, OYOO WASIMULIA MATESO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *