#Local News

KALONZO KUSITISHA UUZAJI WA HISA

Kiongozi wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka ameapa kusitisha uuzaji wa hisa za kampuni ya mawasiliano nchini.

Kiongozi huyo ameahidi kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha kwa mpango ulioratibiwa na serikali wa kuuza hisa hizo unasitishwa.

Aidha ameonya kwamba hatua hiyo inahyatarisha mali na uwekezaji wa taifa.

Imetayarishwa na Jones Koikai

KALONZO KUSITISHA UUZAJI WA HISA

WAIGURU AZINDUA UJENZI WA KMTC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *