#Local News

DCP YAJIONDOA KWENYE UCHAGUZI MALAVA

Mwaniaji wa kiti cha ubunge kwenye uchaguzi mdogo unaokuja mwezi ujao eneo bunge la Malava Seth Panyako, amepigwa jeki baada ya chama cha DCP chake Rigathi Gachagua kumwondoa mwaniaji wake ili kumuunga mkono Panyako wa DAP-K.

Akitoa tangazo hilo, naibu kinara wa DCP Cleophas Malala, amesema muungano wa upinzani uliafikiana kumwasilisha mgombea mmoja ili kumenyana na yule wa chama tawala cha UDA David Ndakwa.

Haya yanajiri huku viongozi wa Kenya Kwaza wakimpigia debe Ndakwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

DCP YAJIONDOA KWENYE UCHAGUZI MALAVA

SADC, EAC ZATAKIWA TANZANIA

DCP YAJIONDOA KWENYE UCHAGUZI MALAVA

KIPCHOGE AJIANDAA KWA HISTORIA MAREKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *