#Local News

IEBC: HAKUNA WAPIGA KURA WAPYA

Tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC imepuzilia mbali madai kwamba wapiga kura wapya wamesajiliwa katika maeneo kutakakofanyika chaguzi ndogo hapo kesho ili kufanikisha wizi wa kura, ikisema hakuna wapiga kura wapya walio na uwezo wa kushiriki zoezi hilo.

Afisa mkuu mtendaji wa tume hiyo Marijan Hussein Marijan, amekariri kuwa sajili itayotumika ni ile ya mwaka 2022.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IEBC: HAKUNA WAPIGA KURA WAPYA

UPIGAJI KURA MAENEO 22 WAANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *