#Local News

RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA UTUMISHI WA UMA

Waziri wa  utumishi wa umma, Geoffrey Ruku , ametoa wito kwa serikali za Afrika kufafanua upya jukumu la utumishi wa umma kama swala kuu katika  mageuzi ya kiuchumi barani Afrika.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa programu ya utawala bora wa kiuchumi  jijini Nairobi, Ruku amesema ustawi wa Afrika unategemea utawala bora, uvumbuzi na uongozi wa kimaadili.

Imetayarishwa na Jones Koikai

RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA UTUMISHI WA UMA

RAIS RUTO AMEANZA ZIARA YAKE YA SIKU

RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA UTUMISHI WA UMA

MARUFUKU YA UKATAJI MITI YAONDOLEWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *