RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA UTUMISHI WA UMA
Waziri wa utumishi wa umma, Geoffrey Ruku , ametoa wito kwa serikali za Afrika kufafanua upya jukumu la utumishi wa umma kama swala kuu katika mageuzi ya kiuchumi barani Afrika.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa programu ya utawala bora wa kiuchumi jijini Nairobi, Ruku amesema ustawi wa Afrika unategemea utawala bora, uvumbuzi na uongozi wa kimaadili.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































