#Local News

WAZAZI: SERIKALI ILITUDANGANYA

Baadhi ya wasimamizi wa shule mbali mbali za upili wamepuzilia mbali agizo la Rais William Ruto la kuwataka wanafunzi wa grade 10 waripoti shuleni bila kujali iwapo wana sare na karo au la, wazazi sasa wakihisi kuhadaiwa na serikali.

Wengi wa wanafunzi hasa katika mitaa ya mabanda wamesalia nyumbani kutokana na ukosefu wa karo na mahitaji mengine ya shule, wazazi wakisema walirejeshwa nyumbani na usimamizi wa shule.

Kulingana na Waziri wa elimu Julius Ogamba, asilimia 98 ya wanafunzi wa grade 10 wameripoti shuleni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAZAZI: SERIKALI ILITUDANGANYA

HAKUNA AZIMIO BILA ODM, RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *