OGAMBA AWATAKA WALIMU KASKAZINI KUVUMILIA
Walimu wanaohudumu katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa Kenya waliotaka kuhamishwa kutokana na utovu wa usalama wametakiwa kuwa watulivu serikali inapoimarisha usalama.
Waziri wa Elimu Julius Ogamba, amesema serikali itazingatia maombi ya walimu hao iwapo visa vya utovu wa usalama vitaongezeka, ila akawahakikishia usalama kutoka kwa serikali.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 


































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































