#Local News

WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO CHESONGCH KUZIKWA LEO

Watu 31 walioangamia kwenye maporomoko ya ardhi katika eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet wameratibiwa kuzikwa hii leo katika kaburi la pamoja, huku wengine 4 wakizikwa na familia zao kwenye mashamba yao.

Watu 32 zaidi wanaendelea kuuguza majeraha kutokana na maporomoko hayo huku wengine 9 wakikosa kujulikana waliko, na zaidi ya familia 600 zikiachwa bila makao.

Waathiriwa wameitaka serikali kuwatafutia makazi mbadala.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO CHESONGCH KUZIKWA LEO

AFUENI YA SARATANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *