#Local News

VIONGOZI WAMEWAHIMIZA WAKAAZI WA KASIPUL KUDUMISHA AMANI WAKATI HUU WA UCHAGUZI MDOGO

Baadhi ya viongozi wa kisiasa wamewahimiza wananchi kudumisha  amani na maridhiano wakati wa kampeni za uchaguzi ndogo katika eneo bunge la kasipul kaunti ya Homa Bay.

Haya yanajiri baada ya makabiliano yaliyoshuhudiwa katika eneo la Opondo ambapo vijana wawili waliuwawa na wengine watatu kujeruhiwa

Hata hivyo mwenyekiti wa chama cha ODM Gladys Wanga amekashifu kitendo hicho akiwataka wakaazi kudumisha amani na umoja.

Imetayarishwa na Jones Koikai

VIONGOZI WAMEWAHIMIZA WAKAAZI WA KASIPUL KUDUMISHA AMANI WAKATI HUU WA UCHAGUZI MDOGO

KESI YA MVUVI NAKURU KUENDELEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *