#Football #Sports

BRANDON OBIERO AWEKA LENGO LA KIPA BORA ZAIDI NCHINI

Kipa wa Tusker, Brandon Obiero, anasema anatamani kuwa miongoni mwa makipa bora nchini baada ya kupata nafasi ya kuanza mechi mbili mfululizo kwenye Ligi kuu ya Kenya.

Obiero ameanza dhidi ya Mara Sugar na Ulinzi Stars, akihifadhi clean sheet katika mechi zote mbili ambazo Tusker ilishinda 1–0.

Mchezaji huyo aliyejiunga na Tusker mwanzoni mwa msimu akitokea Talanta FC, anasema ametimiza malengo makubwa na ataendelea kujisukuma zaidi ili kufikia viwango vya juu katika kampeni iliyosalia.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

BRANDON OBIERO AWEKA LENGO LA KIPA BORA ZAIDI NCHINI

OKAKA AINGIA ROBO FAINALI YA DUNIA BAADA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *