VIONGOZI WA UPINZANI WAISHTUMU SERIKALI
Viongozi wa mrengo wa upinzani wameishtumu vikali serikali ya rais William Ruto wakidai kuwa haijatekeleza ahadi ambazo waliahidi wananchi.
Wakiongozwa na kinara wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka wamekashfu utawala wake wakidai vijana wengi wanatekwa nyara kutokana na sababu zisizi za kimsingi.
Aidha wameitaka serikali kutekeleza majumuku yao kwa wakati ufao.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































