#Local News

VIONGOZI WA UPINZANI WAISHTUMU SERIKALI

Viongozi wa mrengo wa upinzani wameishtumu vikali  serikali  ya rais William Ruto wakidai kuwa haijatekeleza  ahadi ambazo waliahidi wananchi.

Wakiongozwa na kinara wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka  wamekashfu utawala wake wakidai vijana wengi wanatekwa nyara  kutokana na sababu zisizi za kimsingi.

Aidha wameitaka serikali kutekeleza majumuku yao kwa wakati ufao.

Imetayarishwa na Jones Koikai

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *