#Local News

NTSA YATANGAZA MSAKO BARABARANI

Wasafiri wamehakikishiwa usalama wao barabarani hasa msimu huu wa Krisimasi, mamlaka ya usalama barabarani NTSA ikitangaza msako mkali dhidi ya madereva wanaokiuka sheria za trafiki.

Kwenye msako huo, NTSA itategemea mahakama tamba zitakazohakikisha kuwa madereva wanaokamatwa wanashtakiwa na kuhukumiwa papo hapo, mbali na utekelezaji wa vifaa vya kudhibiti mwendo.

Aidha, wakenya wameruhusiwa kurekodi video za maafisa wa trafiki wanaochukua hongo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NTSA YATANGAZA MSAKO BARABARANI

RUTO AMWAGIZA IG KUMALIZA UHUNI

NTSA YATANGAZA MSAKO BARABARANI

WABUNGE WATEULE KUAPISHWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *