#Local News

WAHUDUMU MAGARI: NA BADO!

Wahudumu wa magari mjini Busia wametetea hatua ya kupandisha nauli maradufu kwa wasafiri kutoka mjini humo kuelekea miji mingine, wakisema nauli itaendelea kuongezeka kwa kipindi cha wiki mbizi zijazo kutokana na idadi kubwa ya wasafiri.

Haya yanajiri huku wasafiri wakilalamikia kiwango cha juu cha nauli wanayotozwa licha ya hali ngumu ya uchumi.

Uhaba wa magari pia umeshuhudiwa katika maeneo mengi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *