#Local News

MVUA YA MAANGAMIZI

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko kote nchini imethibitishwa kufikia watu 42, huku familia zikiachwa na hasara kutokana na uharibifu wa mali yakiwemo mashamba, nyumba na magari.

Takwimu za serikali zinaashiria kuwa zaidi ya familia 10,000 zimeathirika na mafuriko hayo, zaidi ya watu 4,000 wakilazimika kutafuta makazi katika maeneo salama.

Hata hivyo, Waziri wa utumishi wa umma na mipango maalum Geoffrey Ruku, amesema serikali inaendelea kutoa msaada.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MVUA YA MAANGAMIZI

SAKAJA: MFUMO WA MAJITAKA FINYU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *