#Local News

WANAHARAKATI WAKEJELI ‘MAIGIZO’ TANZANIA

Watanzania wanaelekea kwenye uchaguzi wa urais hii leo, huku mashirika ya kutetea haki za kidemokrasia yakimkosoa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa madai ya ukiukaji wa haki hizo kutokana na hatua yake ya kuwafungia nje wawaniaji wa upinzani.

Wakiongozwa na kiongozi wa chama cha PLP Martha Karua, wameutaja uchaguzi huo kuwa maigizo na wala si uchaguzi.

Hata hivyo, tume ya uchaguzi nchini humo imesema iko tayari kuendesha uchaguzi huo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAHARAKATI WAKEJELI ‘MAIGIZO’ TANZANIA

EACC YAREJESHA ARDHI YA WAZIRI KARURA

WANAHARAKATI WAKEJELI ‘MAIGIZO’ TANZANIA

NYOTA YA STARLETS KUANGAZA BARANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *