#Local News

NCIC IMESHINDWA KUZUIA UCHOCHEZI, MASENETA

Tume ya kitaifa kuhusu utangamano na uwiano NCIC imetakiwa kukaza Kamba na kukabili cheche za uchochezi katika mitandao ya kijamii nan je ya mitandao hiyo ili kuepusha taifa kutumbukia katika ghasia za baada ya uchaguzi jinsi ilivyoshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.

Ni wito uliotolewa na maseneta baada ya mkurugenzi mkuu wa NCIC Daniel Giti kufika mbele ya kamati ya utangamano wa kitaifa katika bunge la seneti.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *