#Local News

FAMILIA ZA AJALI YA NDEGE DIANI KUSUBIRI

Familia za waathiriwa wa ndege iliyowaua watalii 10 ambao ni raia wa kigeni na rubani raia wa Kenya katika eneo la Diani mapema Jumanne zitasubiri kwa hadi siku 30 kabla ya kufahamu chanzo cha ajali hiyo.

Kulingana na katibu katika idara ya safari za angani Teresia Mbaika, muda huo utahitajika ili kukamilisha uchunguzi katika ajali hiyo, akiongeza kwamba wanaendelea kuondoa miili iliyokwama kwenye mabaki ya ndege hiyo.

Ametoa hakikisho kuwa anga za Kenya ziko salama kwa wasafiri wote.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FAMILIA ZA AJALI YA NDEGE DIANI KUSUBIRI

RUTO AAHIDI MAKAZI WA IDPS WA 2007

FAMILIA ZA AJALI YA NDEGE DIANI KUSUBIRI

MAAFISA 4 NYAMIRA KUSHTAKIWA NA UFISADI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *