DKT FRED MATIANG’I ATEULIWA KUWA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA JUBILEE
Aliyekuwa waziri wa zamani Fred Matiang’i , ameteuliwa na baraza kuu la chama cha jubilee kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka wa 2027 kwa tikiti ya chama hicho.
Uamauzi huo umetangazwa baada ya mkutano wa viongozi wakuu wa chama hicho hapa Nairobi, na katibu mkuu wa chama hicho jeremiah kioni
Aidha ametangaza kuwa Matiang’i pia ameteuliwa kuwa naibu kinara wa jubilee.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































